[image error]
254. Hebu hili na liwe onyo! Wakati wa kurudi kwa Bwana na Mwokozi wetu umekaribia sana, na hatuwezi kulipa gharama za kushindwa kufungua mlango! Lazima tuachane na maisha ya anasa ya dunia hii haraka iwezekanavyo, na tujifunge kibwebwe kumtafuta Bwana akiwa bado anapatikana.
Yesu anahangaika kufungua mlango wa moyo wako ili aingie, lakini mlango huo unapaswa kufunguliwa kutoka ndani. Fungua mlango wa moyo wako. Akikata tamaa atakwenda zake, na hutamsikia tena.
Published on December 03, 2017 15:00